Yasini Twaha Hassani

watu mashuhuri na wenye hadh binafsi Kadi ya maelezo ya watu wote
Anuwani: Yasini Twaha Hassani
Maelezo kwa ufupi.: Sheikh Yasini Twaha Hassani
Mwenyeji wa Kigoma nchini Tanzania Mlinganiaji wa Dini ya Kiislam kasoma chuo kikuu nchini Saudi arabia (Riyadh) Elimu ya Sheria kitengo cha (usuluddin) pia nimfasiri wa vitabu vya kiarabu kwa lugha ya kiswahili, na muhadhiri katika TV Afrika swahili, na Imamu na khatwibu wa masjid Answar sunna Mwanga Kigoma mjini nchini Tanzania.
Tarehe ya kuongezwa: 2013-12-26
kiungo kwa ufupi: http://IslamHouse.com/452603
Kadi hii pia imetafsiriwa katika lugha zifuatazo:: Kiarabu
Maudhui zinazo ambatana na.. ( 359 )
Go to the Top