Jujiunga katika orodha ya barua:
Tunakuchagulia kwa ajili yako
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa watu waliodai Utume ni Milza Ahmadi Alkaadiyan aliyedai kwamba anapata wahyi kutoka mbinguni, pia imezungumzia muujiza wa Mtume (s.a.w) aliposema kwamba utakithiri ujinga katika zama hizi na elimu itashuka.
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa watu waliodai utume baada ya kufa Mtume (s.a.w) ni mwanamke aitwae Sajjaha bintul-Harith, na wengineo.
Mada hii inazunguzia,wakewanaostahiki kupewa talaka,kwasababu ya tabiya mbaya walizo nazo zinazo pingana na uislam.
Mada hii inazunguzia,wakewanaostahiki kupewa talaka,kwasababu ya tabiya mbaya walizo nazo zinazo pingana na uislam.
Mada yakuona kwalugha ya Kiswahili inazungumzia hukumu ya kupangusa juu ya khofu mbili.
MADA HII INAZUNGUMZIA SIFA ZAKADHI KATIKA UISLAM.
MADA HII INAZUNGUMZIA UMUHIMU WA MAHAKAMA YA KADHI NA UMUHIMU WAKE.
Mada yakuona kwalugha ya Kiswahili inazungumzia madhara ya mwanadamu kuto kumjuwa mola wake.
Mada hii inazungumzia tafsiri ya suratul qadri na kueleza ibada kubwa aliyokuwa akifanya mtume (s.a.w)na fadhila za kusimama kuitafuta laylatul qadri,na yanayo semwa katika usiku wa laylatul qadri.
Mada hii inazungumzia fadhila za usiku wa Laylatulqadri na jinsi ya kuutafuta usiku huo,na Dua inayo takiwa kusemwa pindi muislam atakapo uona usiku huo.
Yalio ongezwa karibuni ( Kiswahili )
Vitabu
( Kiswahili )
2018-05-21
QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Video
( Kiswahili )
2017-04-21
Mada hii Inaelezea Maisha ya malaika na chanzo cha kufukuzwa Shetani pia ameeleza kwamba malaika wanaishi peponi na amehitimisha kuelezea kuamini vitabu vya Allah alivyo viteremsha kwa Manabii wake.
Video
( Kiswahili )
2017-04-21
Mada hii Inaelezea Matendo ambayo yanamuudhi Allah kama kufanya shirki na kuabudu moto, na kuitakidi kuwa myoshi ya ubani uapeleka dua kwa Allah.
Video
( Kiswahili )
2017-04-21
Mada hii Inaelezea kwamba Uislam upo katika Maumbile ya mwanadamu na ndio asili alio umbiwa mwanadamu, kisha akataja dalili nyingi kuhusu hilo.
Video
( Kiswahili )
2017-04-21
Mada hii Inaelezea kuhusu maana ya Imani na mambo ambayo yanaingia katika Imani, na ameeleza kuwa Imani inazidi na kupungua.
Video
( Kiswahili )
2017-04-21
Mada hii Inaelezea kuhusu nguzo ya tano za Uislam, pia ameeleza muda na wakati wa kuhiji, na mwongozo katika kutekeleza ibada hiyo, pia amewatahadharisha mahujaji kuingia katika shirki wakati wa kutembelea mji mtukufu wa Madina.
Video
( Kiswahili )
2017-04-21
Mada hii Inaelezea kuhusu malipo makubwa ya mwenye kuswali, kisha amezungumzia madhambi ya mwenye kuacha swala, na ameelezea hukumu za Zaka na Swaumu kwa ufupi.
Video
( Kiswahili )
2017-04-21
Mada hii Inaelezea kuhusu nguzo za Uislam na mpangilio wake kutokana na dalili zilizo pokelewa katika kubainisha nguzo hizo, kisha akabainisha ubora wa swala na cheo chake na hukumu ya alie kufa na alikuwa haswali.
Video
( Kiswahili )
2017-04-21
Mada hii Inaelezea kuwa Uislam ndio dini ya haki na kwamba hataingia peponi ispokuwa mwislam, kisha ikabainisha kuwa Uislam ndio njia ya kuingia peponi.
Video
( Kiswahili )
2017-04-21
Mada hii Inaelezea kuwa Uislam nikutekeleza na kufuata sheria ya Allah na yote aliyo kujanayo Mtume Rehma na amani za Allah ziwe juu yake, na hii ndio maana ya Uislam.
Yalio ongezwa karibuni ( Lugha zote )
Apps
( Kiarabu )
2017-03-03
Amesema Mtume s.a.w: :Nifikishieni kutoka wangu hata Aya moja" Hii App inamsaidia Muislam kufikisha ujumbe wa kuutambulisha Uislam na utukufu wake kwa lugha za Dunia. Katika sifa zake: 1.Ni kupata mada za kidaawa kwanjia rahisi na kwa mpangilio moja baada ya nyingine. 2. Ni kuhama kwenda kwenye lugha zingine na aina tofauti za Orodha kwa njia ya mpangilio. 3. Ni kupatikana lugha tofauti kwenye App ambazo zinafika saba.
Video
( Amharic )
2017-03-03
Muhadhara kuhusu kusilimu wamagharibi anaelezea sababu ya kuingia wengi katika wanachuoni wa kimagharibi katika Uislam.
Makala
( Thai )
2016-01-25
Kubainisha dalili ndani ya Qur-an ya kwamba Uislamu ni Dini ya wote, na sio ya watu fulani au zama fulani, bali kwa watu wote na zama zote.. yametolewa katika Kitabu cha Mukhtaswar fiqhul-Islam cha Sheikh: Muhammad Tuwaijiri.
Vitabu
( Terugu )
2016-01-25
Kitabu kizuri sana kaelezea mtunzi kisa cha kuingia kwake katikaUislamu.
Vitabu
( Malayalam )
2016-01-25
Kitabu hiki kinatuelewesha mambo yafaida mfano: Ni nani Mwanadamu, kaumbwa vipi, Qur-an imemsifu vipi, yatakiwa afanye nini katika uhai wake wa kidunia, vipi atafikia malengo yake ya milele katika maisha yake ya akhera.
Vitabu
( Sinhalese )
2016-01-25
Dini sahihi: Kitabu kizuri sana kwa wale wenye kutafuta haki, ni muongozo kwa wenye kutafuta njia sahihi, kinaelezea kufikiria mambo ya Dini, na kinaelezea uhusiano kati ya Mungu na kiumbe.
Vitabu
( Norway )
2016-01-25
Kitabu kizuri sana kinawafaa wasiokua waislamu wanaopenda kuangalia dalili na kutumia akili safi katika kutafuta Dini sahihi.
Vitabu
( Romanian )
2016-01-25
Kitabu hiki kinasherehesha kwa ufupi Dini ya Uislamu, na kwamba ndio dini sahihi, Allah hakubali dini nyingine tofauti na Uislamu. na kutaja dini nyingine pia kubainisha ubatili wake. Uhakika wa Issa na Mama yake (s.a.w), Uislamu ni Dini yakimataifa, na hikma ya kuumbwa viumbe.
Video
( Kivetinam )
2016-01-25
Mada hii inazungumzia kisa cha kijana ambae kaingia katika Uislamu kwa sababu ya Uaminifu aliyoukuta kwa baadhi ya watu katika nchi ya Saudia.
Vitabu
( Thai )
2016-01-25
Ni nini Uislamu?: Kitabu hiki chawafaa wasiokua waislamu, kinatoa elimu kuhusu Uislamu na Waislamu na baadhi ya mambo ya kielimu ya kweli ambayo yamethibitishwa na Qur-an na Sunna.
Go to the Top