Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 31

Anuwani: Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 31
Lugha: Kiswahili
Mhadhiri: Yasini Twaha Hassani
Kupitia: Abubakari Shabani Rukonkwa
Msambazaji: Mtandao wa satellite wa chanel za Tv Africa
Maelezo kwa ufupi.: Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa sharti za swala ni kuondoa najisi na kuelekea qibla, pia imeelezea umuhimu wa kusafisha nia katika ibada.
Tarehe ya kuongezwa: 2016-04-20
kiungo kwa ufupi: http://IslamHouse.com/2802793
Kadi hii pia imetafsiriwa katika lugha zifuatazo:: Kiarabu
