MASIKU KUMI BORA KATIKA MWEZI WA DHUL-HIJJA
Kadi ya maelezo ya watu wote
Anuwani: MASIKU KUMI BORA KATIKA MWEZI WA DHUL-HIJJA
Lugha: Kiswahili
Mwandishi: Muhammad Ibrahim Al-Sabri
Kupitia: Yunus Kanuni Ngenda
Maelezo kwa ufupi.: Kitabu hiki kinazungumzia masiku kumi bora ya Dhul-Hijja, na matendo yanayo pasa kufanya katika masiku hayo, kisha ameelezea swaumu, na ubora wa takbira, na kujikaribisha kwa Allah, kisha kimezungumzia siku ya Arafa, na namna ya kuhiji na kufanya Umra.
Tarehe ya kuongezwa: 2015-09-15
kiungo kwa ufupi: http://IslamHouse.com/2773604
Kadi hii pia imetafsiriwa katika lugha zifuatazo:: Kiarabu