Matendo mema katika siku kumi za Dhulhija.
Kadi ya maelezo ya watu wote
Anuwani: Matendo mema katika siku kumi za Dhulhija.
Lugha: Kiswahili
Mwandishi: Abubakari Shabani Rukonkwa
Kupitia: Yasini Twaha Hassani
Maelezo kwa ufupi.: Mada hii inazungumzia: Matendo mema katika siku kumi za Dhulhija imezungumzia ubora wa masiku kumi ya Dhulhija, na ubora wa matendo mema katika masiku hayo, pia imezungumzia sifa za takbira na aina zake.
Tarehe ya kuongezwa: 2015-09-22
kiungo kwa ufupi: http://IslamHouse.com/2774628
Anwani hizi zimepangwa chini ya uainishaji ufuatao::
Kadi hii pia imetafsiriwa katika lugha zifuatazo:: Kiarabu