Kuonyesha Video ( 1176 - 1200 Katika jumla ya: 1290 )
2015-04-09
Mada hii inazungumzia: Hatari ya liwatwi na namna Mwenyezi Mungu alivyo angamiza kijiji (Sodom) kwasababu ya liwatwi
2015-03-11
Mada hii inazungumzia: Kumpenda Mtume rehma na amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake, na kisa cha Baitul Maamur.
2015-03-11
Anuwani ya mada hii ni: Muhammad ni mjumbe wa Allah, imezungumzia pia baadhi miujiza ya Mtume s.a.w
2015-03-11
Anuwani ya mada hii ni: Muhammad ni mjumbe wa Allah, na kwamba ummat Muhammad ndio utakuwa wa kwanza kuingia peponi, pia imezungumzia mambo 3 wasio na imani hawayapendi.
2015-03-11
Mada hii inazungumzia: Utaratibu wa kiislamu katika kulala, na umuhimu wa kusoma dua wakati wa kulala.
2015-03-11
Anuwani ya mada hii ni: Wasia kwa mke, inazungumzia pia utaratibu wa kumuadabisha mke.
2015-03-11
Anuwani ya mada hii ni: Wasia kwa mke, inazungumzia pia udhaifu wa wanawake.
2015-03-11
Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa ikhlaswi katika matendo, atakayoulizwa mwanadamu kaburini, na umuhimu wa kushikamana na Sunna.
2015-03-11
Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kuihesabu nafsi, madhambi yanayo sababishwa na simu, na hali za Maswahaba katika kuzihesabu nafsi zao.
2015-03-11
Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kusameheana.
2015-03-11
Mada hii inazungumzia: Maswali atayo uliza Masihidajali baada ya kutokea.
2015-03-11
Mada hii inazungumzia: Mambo matatu yatakapo tokea milango ya toba itafungwa.
2015-03-11
Anuwani ya mada hii ni: Fadhila alizopewa mwanadamu, na kuitumia vizuri neema ya macho na ulimi.
2015-03-07
Anuwani ya mada hii ni: Twahara na aina zake, imezungumzia pia jinsi ya kutayamamu.
2015-03-07
Anuwani ya mada hii ni: Twahara na aina zake, pia imezungumzia sifa za udhu na jinsi ya kutawadha.
2015-03-07
Mada hii inazungumzia: inazungumzia maana ya twahara ya nafsi na twahara ya viungo.
2015-03-07
Mada hii inazunguzia Sharti za Lailahaila Allah ambayo ni kuzingatiya au kunyenyekea na kuwa ikhlas na mapezi.
2015-03-07
Mada hii inazunguzia Sharti za Lailahaila Allah ambayo ni Yaqini na Qabuli.
2015-03-07
Mada hii inazunguzia Sharti za Lailahaila Allah ambayo ni Elimu inayo pingana na Ujinga.
2015-02-16
Mada hii inazunguzia namna ya kujikinga na shetani wakati wa kulala na faida ya kusoma aya za mwisho katika suratu Albaqra.
2015-02-16
Mada hii inazunguzia adabu za kulala na umuhimu wa nia katika ibada na namna ya kujikinga na shetani
2015-02-16
Mada hii ni fatwa inayo zunguzia kua Kuwaomba waliopigana katika vita vya Badri niushirikina.
2015-02-16
Mada hii ni fatwa inayo zunguzia hukumu ya kuwaomba watu walio kufa katika vita vya Badri na mafungamano yao na waganga wa kienyeji.
2015-02-10
Mada hii inazunguzia Uzito wa wazazi wawili na malipo ya kuwafanyia wema.
2015-02-10
Mada hii inazunguzia balaa la ushirikina katika Ibadan a madhara yake.
Go to the Top