Kuonyesha Video ( 1251 - 1275 Katika jumla ya: 1290 )
2014-04-06
Khutba hii inazungumzia hali ya wanao abudu makaburi na hukumu ya kuabudu makaburi.
2014-04-06
Mada hii inazungumzia historia ya wanachuoni wa africa mashariki ambao walio toa mchango mkubwa katika uiendeleza dini ya allah.
2014-04-06
Khutba hii inazungumzia uchungu wa wenye kutubia na hali za wenye kutbia.
2014-04-06
Khutba hii inazungumzia uadilifu katika dini na fadhila za kufanya uadilifu.
2014-04-06
Khutba hii inazungumzia thamani ya undugu katika uislam na ubora wakuwa ndugu.
2014-04-06
Khutba hii inazungumzia khasara tatu za muislam,na utukufu wa makkah na madina na maeneo yenye historiya katika mji mituku wa maka na madina na mazingatio katika sehemu hizo.
2014-04-06
Khutba hii inazungumzia hijabu ya mwanamke sifa zake na hukumu yake.
2014-04-06
Haki Za Maiti - 2: Mada hii inazungumzia haki za maiti kwa vitendo.
2014-04-06
Haki Za Maiti - 1: Mada hii inazungumzia haki za maiti kwa vitendo.
2014-03-17
Mada hii imezungumzia hisrotia ya uislam katika nchi za Africa mashariki na namna uislam ulivyo ingia Africa.
2014-03-17
Mada hii imezungumzia hisrotia ya uislam katika nchi za Africa mashariki na namna uislam ulivyo ingia Africa.
2014-03-17
Mada hii imezungumzia uhatari wa kuipenda dunia na wanawake.
2014-03-17
KHUTBA HII YA EDDI INAZUNGUMZIA UKARIMU WA ALLAH KWA WAJAWAKE SIKU YA IDDI NA UNYONGE WA SHETANI KATIKA SIKU YA IDDI,NA UWAJIBU WA MWISLAM KUENDELEZA IBAADA BAADA YA RAMADHANI.
2014-03-17
KHUTBA HII INAZUNGUMZIA HAKI ZA MAJIRANI NA HAKI ZA MAYATIMA NA UMUHIMU WA HATARI YA KUVUNJA UDUGU.
2014-02-23
KHUTBA HII YA KISWAHILI INAZUNGUMZIA USIKU WA LAYLATUL QADRI NA UBORA WA USIKU HUO NA WAGENI WANAO ITEMBELEA DUNIA KATIKA USIKU HUO.
2014-02-23
MADA HII INAZUNGUMZIA UBORA WA KUFUNGA SWAUMU ZA SUNNAH NA MWEZI WA SHAABANI.
2014-02-23
MADA HII INAZUNGUMZIA THAMANI YA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI NA UBORA WAKE NA ATHARI ZINAZO ACHWA NA MWEZI WA RAMADHANI BAADA YA KUONDOKA.
2014-02-23
MADA HII INAZUNGUMZIA NJIA RAHISI YA KUJIPATIYA RIZKI YA HALALI,NA UHATARI WA KUJITAFUTIA RIZIKI YA HARAMU.
2014-02-23
MADA HII INAZUNGUMZIA NEEMA ZA WATU WAPEPONI,NA BAADHI YA TABIYA MBAYA ZA WAFUNGAJI.
2014-02-23
SEMINA HII INAZUNGUMZIA ADABU ZA KUMUONA MGONJWA NA ALAMA ZA KUMJUWA ALIE KUFA NA JINSI YA KUKATA SANDA YA MWANAUME NA MWANAMKE.
2014-02-23
KHUTUBA HII YA KISWAHILI INAZUNGUMZIA MIONGONI MWA HAKI ZA MWANAMKE NA IMEZUNGUMZIA UHATARI WA MUME KUWA MBALI NA MKE KWA MUDA MREFU.
2014-02-23
MADA HII INAZUNGUMZIA MAPOKEZI YA MGENI MTUKUFU AMBAE NI MWEZI WA RAMADHA NI.
2014-02-23
MADA HII INAZUNGUMZIA MADHAMBI SABA YENYE KUANGAMIZA NA UFAFANUZI WAKE.
2014-02-23
MADA HII INAZUNGUMZIA UFAFANUZI KUHUSU MAMBO MATANO ALIYO BASHIRIA MTUME S.A.W. UMMA WAKE KUWA YATATOKEA.
2014-02-23
KHUTBA HII YA EDDI ALFITRI INAZUNGUMZIA KUHUSU UMUHIMU WA IKHLASI KATIKA IBADA NA UWAJIBU WA MWISLAM KUENDELEZA IBAADA BAADA YA RAMADHANI.
Go to the Top