Kuonyesha Video ( 1276 - 1290 Katika jumla ya: 1290 )
2014-02-23
MADA HII INAZUNGUMZIA UWAJIBU NA UBORA WA KUITUMIKIA DINI NA MALIPO ATAKAYO PATA ATAKAE KUFA KATIKA KUITUMIKIA DINI YA UISLAM.
2014-02-23
MADA HII INAZUNGUMZIA JINSI YA KUUPOKEA MWEZI WA RAMADHANI NA YANAYO PASA KWA KILA MUISLAM KUYAJUWA KABLA YA MWEZI WARADHANI KUMFIKIA.
2013-12-26
Mada hii imezungumzia Utukufu wa siku kumi za mfungo tatu na ubora wa kufanya ibada katika siku hazo.
2013-12-26
Mada hii inazungumzia uhusiano wa africa na uislam,na watu wakwanza walio leta uislam africa mashariki,na ukarimu wa watu wa afrika mashariki.
2013-12-26
Mada hii inazungumzia ruqya ya kisheria na jinsi ya kutowa majini, na vipi jinni anaweza kumuingia mtu na dawa gani tutumie,na aya gani katika quran zinamchoma jinni ao shetani.
2013-12-26
Mada hi inazungumzia sifa za watu wema na uwaijibu wa waislam kuwafuata watu wema.
2013-12-26
Mada hii inazungumzia uchawi, hukumu yake na madhara yake na uchafu wa mchawi na adhabu zake.
2013-12-26
Mada hii inazungumzia ubora wa swaumu ya ashuraa na utukufu wa allah wa kusamehe madhambi katika siku ya ashura.
2013-12-26
Mada hii inazungumzia sababu ya kukufuru wanadamu na kuiacha dini ya mwenyezi mungu na kuingia katika ushirikina.
2013-12-26
Nini maana ya uchawi na majinni, vipi jinni anaweza kumuingia mtu, na dawa gani tutumie,na aya gani katika quran zinamchoma jinni ao shetani.
2013-12-26
Mada hii inazungumzia ubora wa kulingania ktk njia ya mwenyezi mungu na malipo ya atakae kufa akiwa na lailaha illa allah.
2013-12-26
Mada hii inazungumzia kuchinja na hukumu yake na hukumu ya kuchinja kwaajili ya mizimu na na mashetani ao makaburi.
2013-12-26
Mada hii inazungumzia namna ya kumtukuza mtume s.a.w.na kumuheshimu mtume na taratibu za kumtakia rehma.
2013-12-26
Mada hii inazungumzia hukumu ya kusherehekea Chrismas na mwaka mpya na kupeyana zawadi ao kupongezana.
2013-10-14
Hajj hatua kwa hatua.
Go to the Top