Kuonyesha Video ( 976 - 1000 Katika jumla ya: 1290 )
2015-11-24
Mazuri ya Uislamu Sheikh Yusuf Estes Huda TV, mada: 15, Uhusiano pamoja na Nabii Muhammad (s.a.w).
2015-11-24
Mazuri ya Uislamu Sheikh Yusuf Estes Huda TV, mada: 14, Uhusiano pamoja na Nabii Muhammad (s.a.w).
2015-11-24
Mazuri ya Uislamu Sheikh Yusuf Estes Huda TV, mada: 13, Uhusiano pamoja na Nabii Muhammad (s.a.w).
2015-11-24
Mazuri ya Uislamu Sheikh Yusuf Estes Huda TV, mada 12: Uhusiano pamoja na Mtume Muhammad (s.a.w).
2015-11-24
Mazuri ya Uislamu Sheikh Yusuf Estes Huda TV, mada 11: Uhusiano kati ya binadamu na mazingira yake.
2015-11-24
Mazuri ya Uislamu Sheikh Yusuf Estes Huda TV, mada 10: Uhusiano kati ya Viumbe na Mola wao Mtukufu.
2015-11-24
Mazuei ktk Uislamu Sheikh Yusuf Estes kwenye Huda TV, kipindi cha kwanza: Imani na dalili zake.
2015-11-22
Mada mpya ya sheikh: Yusuf Estes anaelezea namna walivyo zinduka wazururaji ktk maisha haya ya dunia, ambao walikua hawajuwi malengo ya kuwepo kwao, kabainisha njia sahihi za kisheria na zakiakili ambazo kila mtu ataelewa haki ipo wapi na batili.
2015-11-22
Mada mpya ya sheikh: Hamza Tzortzis namna walivyo zinduka wazururaji ktk maisha haya ya dunia, ambao walikua hawajuwi malengo ya kuwepo kwao, kabainisha njia sahihi za kisheria na zakiakili ambazo kila mtu ataelewa haki ipo wapi na batili.
2015-11-22
Mada ya video nzuri inazungumzia maana ya uhai katika Uislamu na makusudio ya kuwepo katika hii Dunia.
2015-11-22
Mada ya video nzuri inazungumzia maana ya uhai katika Uislamu na makusudio ya kuwepo katika hii Dunia.
2015-11-14
Shekh anazungumzia: ufafanuzi wa hadithi ya sita na yasaba, kuhusu na najsi ya mbwa, kisha amebainisha mbwa anaefaa kufugwa, kisha akabainisha namna ya kusafisha najsi ya mbwa, na akasema kuwa hadithi ya sita na ya saba zinabainisha kuwa mbwa ni najsi.
2015-11-14
Shekh anazungumzia: Ufafanuzi wa hadithi ya sita, amebainisha kauli za wanachuoni kuhusu najsi ya mbwa, kisha akabainisha uwajibu wa kutumia mchanga katika kuosha najsi, kisha akabainisha faida katika hadithi hii: kwamba najsi ya mbwa na nguruwe ni najsi nzito, mbwa akilamba katia chombo kinakuwa najsi.
2015-11-14
Shekh anazungumzia: Ufafanuzi wa hadithi ya tano ameleza faida za hadithi ikiwemo, kujuzu kujitwaharisha katika maji yanayo tembea na inajuzu kukidhi haja katika maji yanayo tembea kwa dharura.
Kisha amebainisha hadithi ya sita inayo zungumzia namna ya kuosha chombo kilicho lambwa na mbwa na nguruwe kisha ametaja taratibu za kufuga mbwa.
2015-11-14
Shekh anazungumzia: ufafanuzi wa hadithi ya tano na amebainisha upotovu wa rai ya dhwahiriya katika hadithi hii, kisha amebainisha faida za hadithi hii ikiwemo: makatazo ya kukojoa katika maji yalio tuwama, na kwamba Uislam unalinda mazingira, uislam unapiga vita uchafuzi wa mazingira, na usafi nikatika imani.
2015-11-14
Shekh anazungumzia: Ufafanuzi wa hadithi ya tano ambayo imeelezea makatazo ya kuoga katika maji yalio tuwama mahala pamoja, kisha akabainisha maana ya maneno ya hadithi na tafsiri ya hadithi kisha akafafanua kuhusu upokezi wa hadithi hii.
2015-11-14
Shekh anazungumzia: Ufafanuzi wa hadithi ya nne, ameeleza maana ya hadithi kwa jumla, kisha akabainisha faida za hadithi: kwamba inafaa kupandisha maji puani na kuyatoa, na nisheria kuosha mikono miwili baada ya kuamka usingizini, aliye lala bila kuambatanisha makalio yake anatakiwa atawadhe upya.
2015-11-14
Shekh anazungumzia: umuhimu wa kutawadha vizuri, na uhatari wa kuharakisha kutia udhu, kisha amewahusia watu waoshe viungo vizuri wakati wa kutawadha, katika hadithi: Udhu ni katika matendo mema, miguu inaoshwa katika kutawadha, mwenye kuacha mabaka katika kutawadha ataadhibiwa.
2015-11-14
Shekh anazungumzia: ufafanuzi wa hadithi ya tatu, amebainisha daraja ya hadithi hiyo na akafafanua baadhi ya maneno katika hadithi kama vile (waylu) na (aqaab).
2015-11-14
Shekh anazungumzia: umuhimu wa kujifunza mambo ya muhimu katika udhu kabla ya kuswali, kisha akataja faida zinazo tokana na hadithi: swala ya mwenye hadathi haikubaliwi, hadadhi ni katika vitenguzi vya udhu…
2015-11-13
Shekh anazungumzia: Ufafanuzi wa hadithi ya pili na amenukuu maneno ya shekh Albassam katika kufafanua maana ya hadithi, kisha amebainisha hukumu za hadithi kisha akasisitiza uwajibu wa kutawadha vizuri.
2015-11-13
Shekh anazungumzia: Maana ya hadithi kwa ujumla kisha historia fupi ya Swahaba Abuu Hurayra, kisha akabainisha maana ya kauli ya Mtume (s.a.w): (hakubali) katika hadithi, kisha akaweka wazi tofauti baina ya hadath na najsi.
2015-11-13
Shekh anazungumzia: marejeo mafupi ya hadithi iliyo tangulia kisha akaanza kufafanua hadithi ya pili katika hadithi za kitabu cha Umdatul Ahkam..
2015-11-13
Shekh anazungumzia: rai za wanachuoni kuhusiana na hadithi ya Omar bin khatwab, na kwamba hadithi hii ni msingi katika misingi ya kisheria, na kwamba ni nusu ya elimu.
2015-11-13
Shekh anazungumzia: ufafanuzi wa hadithi ya kwanza kazungumzia maana ya matendo, akaeleza tofauti baina ya niya na kuazimia, kisha akaeleza kusudio la kuhama katika uislam.
Go to the Top