Kuonyesha Video ( 1026 - 1050 Katika jumla ya: 1290 )
2015-11-13
Mada hii inazungumzia: Utamu wa ndoa, na kwamba ili mtu apate ladha na utamu wa ndoa sharti atafute mwanamke au mwanaume mwema, pia imezungumzia umuhimu kwa wanandoa kusameheana ktk ndoa.
2015-11-11
Mada hii inazungumzia: Mahala atakapo pumzika Mtume (s.a.w) Peponi baada ya kufa kwake, pia imefafanunua na kutafsiri maajabu yote aliyo kutana nayo Mtume (s.a.w) na Malaika.
2015-11-11
Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) katika hadithi ya ndoto na maajabu aliyoyaona akiwa na Malaika, pia imezungumzia nyumba aliyokabidhiwa Mtume (s.a.w) na Malaika baada ya safari ndefu.
2015-11-11
Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) juu ya malipo ya mtu mwenye kuswali swala ya jamaa nyuma ya takbira ya Imamu kwa siku arubaini, pia imezungumzia swafu iliyo bora kwa wanaume.
2015-11-11
Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) juu ya malipo ya mtu mwenye kwenda mapema msikitini, pia imezungumzia faidha ya swala ya jamaa na umuhimu wa kukumbuka neema za Allah kabla ya kuulizwa siku ya Qiyama.
2015-11-11
Mada hii inazungumzia: Umuhimu na ubora kwa mwanamke wa kiislamu kuswalia nyumbani, pia imezungumzia fadhila anazopata mtu anapokaa msikitini akisubiri kuswali.
2015-11-11
Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) juu ya ubora na thawabu anazopata mtu anapoenda msikitini, pia imezunguzia hatari ya mwanaume wa kiislamu kuswalia nyumbani badala ya msikitini.
2015-11-11
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa faida za kumtembelea mgonjwa au ndugu katika Uislamu ikiwemo kukumbushana katika mambo ya kheri, pia imezungumzia umuhimu na ubora wa ibada ya swala.
2015-11-11
Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) katika kuwalea mabinti katika majumba na malipo anayo pata mwenye kuwalea mabinti wawili katika misingi ya uislam, pia amezungumza kuwa watoto wakike wanalindwa.
2015-11-11
Mada hii inazungumzia: Adabu za kumtembelea ndugu katika Uislamu na namna ya kumuandalia mgeni chakula, pia imezungumzia umuhimu wa mzazi kuwalea watoto katika malezi bora ya kiislamu.
2015-11-11
Mada hii inazungumzia: Sababu ya Qabil kumua ndugu yake Habil na namna alivyomzika, pia imezungumzia hatari ya dhambi ya kuua na umuhimu kwa muislamu kujutia madhambi.
2015-11-11
Mada hii inazungumzia: Miongoni wa sababu za mtu kuokoka na Moto wa Jahanam, pia imezungumzia umuhimu wa kutoa kilicho bora kwa ajili ya Allah na hatari ya ubakhili na imeelezea kwa ufupi kisa cha watoto wa Nabii Adam (a.s) Qabili na Habili.
2015-11-11
Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kujitolea damu na kumuongezea mgonjwa na kwamba kumuona na kumsaidia mgonjwa ni sababu ya kupatana kwa watu waliokosana, pia imezungumzi umuhimu wa waislamu kuwa kitu kimoja
2015-11-11
Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kumsaidia, kumtembelea na kumfariji mtu hasa anapokua mgonjwa, pia imezungumzia namna baadhi ya Waislamu wanavyo ipuuzia na kuisahau Sunna hii
2015-11-10
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa sababu za Allah kumlipa Pepo mtu mwenye kumtembelea mgonjwa na namna ya kumtamkisha mgonjwa kalmia ya laa iLLaha illa LLah, pia imezungumzia umuhimu wa muislamu kujiandaa na kifo
2015-11-10
Mada hii inazungumzia: ukamilifu wa mada ilio pita ikizungumzia maana ya kumswalia mtume (s.a.w) kisha amebainisha namna ya kumswalia mtume, na hatari ya uzushi katika dini.
2015-11-10
Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) juu ya kumtembelea mgonjwa ametaja ubora wa mkutembelea mgonjwa, ikiwemo Malaika elfu sabini wanamuombea dua, na kuzungukwa na rehma, pia imefafanua maana ya malaika kumswalia.
2015-11-10
Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) juu ya kumtembelea mgonjwa au ndugu katika imani na namna Maswahaba wa Mtume (s.a.w) walivyo dumu na Sunna hii, pia imezungumzia fadhila na malipo yake.
2015-11-10
Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) katika kumtembelea mgonjwa, na ubora wake pa amezungumzia hali ya waislam katika zama hizi, na kwamba kumtembelea mgonjwa ni ibada ilio hamwa.
2015-11-10
Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) katika namna ya kupiga mswaki, pia imezungumzia umuhimu wa kufuata mwenendo wa Mtume (s.a.w), na ameongelea uwajibu wa usafi na ameendelea kutaja nyakati za kupiga mswaki.
2015-11-10
Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) katika taratibu za kupiga mswaki na miongoni mwa faida na tiba inayopatikana katika kupiga mswaki, pia imezungumzia nyakati ambazo ni muhimu na ni Sunna kupiga mswaki.
2015-11-10
Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kufanya matendo mema kwa siri bila ya kujionyesha mbele za watu, nakwamba ibada za siri nisababu ya kujibiwa dua ikiwa ni kwa ikhlas.
2015-11-10
Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) katika umuhimu wa kutoa na kujitolea kwa ajili ya Allah, pia imezungumzia umuhimu wa kuwasaidia masikini na hatari ya ubakhili
2015-11-10
Mada hii inazungumzia: Aina na dalili za ucha Mungu, nakwamba miongoni mwa dalili za ucha Mungu ni kutumia kitabu cha Alllah na Sunna za Mtume (s.a.w), pia imezungumzia umuhimu wa Muislamu kujiandaa na Akhera.
2015-11-10
Mada hii inazungumzia: Mafundisho ya Mtume (s.a.w) katika kufurahishana na kusaidiana mke na mume ndani ya ndoa, pia imezungumzia njia sahihi za kumaliza ugomvi baina ya mume na mke. Kisha ametaja faida za mswaki.
Go to the Top