Kuonyesha Video ( 76 - 100 Katika jumla ya: 1290 )
2017-03-26
Mada hii inaelezea: Miongoni mwa faida ya Swala ya jamaa ni mafunzo kwa yule asiyejua baadhi ya vitendo vya Swala, na usawa unaopatikana ndani yake baina ya tajiri na masikini n.k.
2017-03-26
Mada hii inaelezea: Makosa ya baadhi ya watu kutoka Msikitini baada ya Adhana, pia imezungumzia kua swala ya jamaa nisababu ya kuleta umoja katika uislam.
2017-03-26
Mada hii inaelezea: Kisa cha kipofu Abdillahi bin Ummi Maktum na hukumu zinazo tolewa katika hadithi hiyo.
2017-03-26
Mada hii inaelezea: Miongoni mwa dalili zinazoonyesha uwajibu wa swala ya jamaa, pia imezungumzia hatari ya kupuuza swala ya jamaa.
2017-03-26
Mada hii inaelezea: Kauli za Wanachuoni juu ya umuhimu na uwajibu wa Swala ya jamaa.
2017-03-26
Mada hii inaelezea: Nyakati tano zilizo katazwa kufanya ibada ndani yake, pia imezungumzia hukumu ya mtu aliyepitwa na swala kwa kusahau au kulala.
2017-03-26
Mada hii inaelezea: Umuhimu wa Sijda ya kushukuru (Sijdatu shukri) na wakati gani wa kusujudu sijda hiyo.
2017-03-26
Mada hii inaelezea: Umuhimu wa Sijda ya kisomo (sijdatu tilaawah) na namna ya kusujudu Sijda ya hiyo ndani ya swala.
2017-03-22
Mada hii inazungumzia: Swala za Sunna zilizo za sababu na nyakati zake, pia imeelezea sijida ya kisomo (sijidatu tilawa) na umuhimu wake
2017-03-22
Mada hii inazungumzia: Nafasi ya Swala katika Uislamu, pia imeeleze umuhimu wa kuchunga masharti na wajibati katika swala
2017-03-22
Mada hii inazungumzia: Aina pamoja na mgawanyiko wa swala za Sunna, imeelezea swala za Sunna zilizo za sababu
2017-03-22
Mada hii inazungumzia: Kushiba sana usiku ni katika sababu zenye kumfanya mtu kushindwa kuamka kuswali (Qiyamu layli), pia imezungumzia swala za usiku zinampandisha mja daraja
2017-03-22
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa mambo yanayosaidia kuamka kuswali usiku ni mtu kulala akiwa twahara, au kulala na udhu
2017-03-22
Mada hii inazungumzia: Mambo matano ya kuzingatia ukiwa hapa duniani, pia imeelezea umuhimu wa kuipa nyongo dunia
2017-03-22
Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kuitumia fursa na afya katika kufanya ibada kwa ajili ya Allah
2017-03-22
Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kuacha maasi na kurudi kwa Allah, pia imeelezea hatari ya kuzama katika maovu
2017-03-22
Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kupunguza mipango na kufanya bidii ya kuswali usiku (Qiyamu layli), pia imeelezea ubora wa kukumbuka kifo
2017-03-22
Mada hii inazungumzia: Baadhi ya mambo yanayompelekea mtu kuwa na moyo wa kuswali usiku, pia imeelezea aina ya ndoto zenye faida
2017-03-22
Mada hii inazungumzia: Mambo anayotakiwa kuyajua mwenye kuswali usiku (Qiyamu layli), pia imeelezea wanaoswali usiku ni vipenzi wa Allah
2017-03-22
Mada hii inazungumzia: Namna ya kusoma Qur’an katika swala za usiku (Qiyamu layli), pia imeelezea umuhimu wa kusujudu kwa ajili ya Allah
2017-03-22
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa adabu za swala za usiku ni kulala mapema, pia imeelezea umuhimu wa kuwaamsha ndugu na jamaa katika swala za usiku
2017-03-22
Mada hii inazungumzia: Muda ulio bora kwa swala za usiku (Qiyamu layli), pia imezungumzia adabu za swala ya usiku
2017-03-22
Mada hii inazungumzia: Malipo ya mwenye kuswali usiku (Qiyamu layli), pia imeelezea kushuka kwa Allah katika nusu ya mwisho ya usiku
2017-03-21
Mada hii inazungumzia: Swala za usiku (Qiyamu layli) ni utukufu kwa muumini, pia imeelezea umuhimu na ubora wa kusoma Qur’an
2017-03-21
Mada hii inazungumzia: Daraja la watu wenye kuitikia wito wa Allah, pia imeelezea umuhimu wa kufuata sunna na hatari ya bid’a (uzushi)
Go to the Top