Kuonyesha Video ( 26 - 50 Katika jumla ya: 1290 )
2017-03-26
Mada hii inazungumzia: Muda wa swala ya iddi, na kwamba inaswaliwa asubuhi, kisha amebainisha namna inavyo swaliwa Iddi.
2017-03-26
Mada hii inazungumzia: Yanayo paswa kwa muislam anapo kwenda kuswali idi, kwamba anatakiwa afanye takbira tangu anatoka kwake na akifika kwenye mswala, na hakuna swala ya suna kabla au baada, na hakuna adhana wala iqama.
2017-03-26
Mada hii inazungumzia: Mambo yanayotakiwa kufanywa siku ya Iddi, na mambo yasiyofaa.
2017-03-26
Mada hii inazungumzia: Hukumu ya Swala ya Iddi mbili, taratibu zake na adabu zake.
2017-03-26
Mada hii inazungumzia: Hukumu za kunyanyua mikono katika khutba na katika swala, pia imeeleza sehemu zinazo takiwa kunyanyua mikono.
2017-03-26
Mada hii inazungumzia: Hukumu za khutba ya ijumaa na mambo yanayo takiwa kufanywa katika khutba ya Ijumaa.
2017-03-26
Mada hii inazungumzia: Yanayo takiwa kuchungwa katika khutba ya Ijumaa na taratibu zake.
2017-03-26
Mada hii inazungumzia: Adhana mbili za siku ya Ijumaa, pia imezungumzia juu ya idadi ya watu kusali Ijumaa mjini au vijijini.
2017-03-26
Mada hii inazungumzia: Mambo yasiyotakiwa kufanywa siku ya Ijumaa, pia
imezungumzia hukumu ya Ijumaa inapokutana na Iddi
2017-03-26
Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kufuata Sunna na taratibu za siku ya Ijumaa, kama vile kupaka manukato, kuoga na kusoma Surat Kahf nk.
2017-03-26
Mada hii inazungumzia: Umuhumu na ubora wa kwenda mapema Msikitini siku ya Ijumaa.
2017-03-26
Mada hii inazungumzia: wajibu na masharti ya swala ya ijumaa, kisha akabainisha nyudhuru za kuto fika katika swala ya ijumaa.
2017-03-26
Mada hii inazungumzia: Hukumu ya Swala ya Ijumaa, na kisha imebainisha hukumu ya swala ya ijumaa kwa mgonjwa.
2017-03-26
Mada hii inazungumzia: Madhabu ya asie swali, na kwamba maradhi sio sababu ya kuacha swala ,na kwamba asie swali nikafiri, kisha amebainisha namna ya kuswali mgonjwa swala ikimpita.
2017-03-26
Mada hii inazungumzia: Namna anavyo elekea mgonjwa qibla, na namna anavyo swali akikosa wa kumuelekeza qibla, na niwakati gani mgonjwa aaswali kwa moyo wake.
2017-03-26
Mada hii inazungumzia: Aina za maradhi na namna ya kufanya ibada kwa wagonjwa wenye maradhi hayo.
2017-03-26
Mada hii inazungumzia: Muendelezo juu ya mambo yanayo muhusu mgonjwa
katika twahara na mengineyo
2017-03-26
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa mambo yanayo muhusu mgonjwa katika twahara na swala.
2017-03-26
Mada hii inazungumzia: Hukumu ya Swala ya mgonjwa na taratibu zake.
2017-03-26
Mada hii inazungumzia: Makatazo ya kuswali baina ya nguzo za msikiti, pia imebainisha makatazo ya kumuamsha alie wahi kwenye swafu.
2017-03-26
Mada hii inazungumzia: Mambo yanayo muhusu Maamuma ndani Swala.
2017-03-26
Mada hii inazungumzia: Muendelezo wa mambo yanayo muhusu Imamu, adabu zake na utaratibu wa kuswalisha.
2017-03-26
Mada hii inazungumzia: Muendelezo wa mambo yanayo muhusu Imamu, adabu zake na utaratibu wa kuswalisha.
2017-03-26
Mada hii inazungumzia: Muendelezo wa mambo yanayo muhusu Imamu, adabu zake na utaratibu wa kuswalisha.
2017-03-26
Mada hii inazungumzia: Mambo yanayo muhusu Imamu, Sifa anazotakiwa kujipamba nazo na adabu zake.
Go to the Top