Kuonyesha Video ( 251 - 275 Katika jumla ya: 1290 )
2016-05-25
Mada hii inazungumzia: Uhalali wa kutumia vyombo vya wasiokuwa waislamu baada ya kuvisafisha, pia imefafanua juu ya hukumu ya kuwinda kwa kutumia mbwa.
2016-05-25
Mada hii inazungumzia: Tofauti katika kutwaharisha mkojo wa mtoto wa kiume na mtoto wa kike ambao hawajaanza kula chakula isipokua maziwa ya mama.
2016-05-25
Mada hii inazungumzia: Kunywa pombe ni haramu kwa dalili zote, pia imeelezea baadhi ya dalili za unajsi wa pombe.
2016-05-25
Mada hii inazungumzia: Maana ya kukwangua manii, pia imeelezea mwenye kutokwa na manii atatakiwa kuoga janaba, ama yaliyodondokea katika nguo inafaa kuonsha na maji au kukwangua.
2016-05-25
Mada hii inazungumzia: Ufafanuzi kamili juu ya utwahara wa ngozi ya mnyama aliyekufa, pia imezungumzia umuhimu wa jambo hilo kwa zama hizi tulizo nazo.
2016-05-25
Mada hii inazungumzia: Kujitibu kwa maziwa na mkojo wa ngamia, na hii ni dalili kuwa ute, mate na mkojo wa mnyama anayeliwa siyo najsi.
2016-05-25
Mada hii inazungumzia: Kuswihi kutumia vyombo vya makafiri kwa dalili kuwa Mtume (s.a.w) alitumia chombo cha mama mmoja mshirikina (kafiri).
2016-05-25
"Mada hii inazungumzia: Utaratibu na namna ya kutawadha kama alivyotawadha Mtume (s.a.w). kama ilivyo kuja katika hadithi ya Humran(r.a)
Pia amezungumzia ubora wa swala baada ya Udhu."
2016-05-25
Mada hii inazungumzia: Historia fupi ya Mama wa waumini Maimuna (r.a) Mke wa Mtume (s.a.w), pia imezungumzia mchanganuo wa kuisafisha ngozi ya mnyama aliyekufa.
2016-05-25
Mada hii inazungumzia: Namna Othman (r.a) alivyofundisha udhu wa Mtume (s.a.w), pia imezungumzia umuhimu wa kufuata Sunna za Mtume (s.a.w).
2016-05-25
Mada hii inazungumzia: Tofauti kati ya mkojo wa mtoto wa kiume na mtoto wa kike katika kutwaharisha, ambapo kwa mtoto wa kiume unanyunyizia maji, wa kike unafua.
2016-05-25
Mada hii inazungumzia: Utaratibu wa kutumia vyombo visivyokuwa vya waislamu, pia imezungumzia Historia fupi ya Swahaba Abuu Thaalaba (r.a.w).
2016-05-25
Mada hii inazungumzia: Uhalali wa kuswalia nguo yenye athari ya manii, pia imezungumzia nistoria ya Mama wa waumini Aisha (r.a).
2016-05-25
Mada hii inazungumzia: Matumizi ya ngozi ya mnyama aliyekufa baada ya kuisafisha (kuidibaghi), pia imezungumzia jinsi na namna ya kuisafisha.
2016-05-25
Mada hii inazungumzia: Namna ya kuondoa damu ya hedhi iliyoganda katika nguo, pia imezunguzia jinsi ya kubadilisha rangi ya damu ya hedhi iliyoganda katika nguo.
2016-05-25
Mada hii inazungumzia: Historia fupi ya safari ya Mtume (s.a.w) na Maswahaba (r.a) na jinsi walivyokutana na mwanamke mshirikina akiwa na maji wakayatumia yale katika kumywa na kutawadha.
2016-05-25
Mada hii inazungumzia: Historia fupi ya mama wa waumini Ummu Salamah (R.A) mpokezi wa hadith ya uharamu wa kutumia vyombo vya dhahabu na fedha.
2016-05-25
Mada hii inazungumzia: Maana ya Kudibaghi ngozi ya mnyama, pia imefafanua wanyama wanaofaa kusafisha ngozi zao (kudibaghi au kutwaharisha).
2016-05-25
Mada hii inazungumzia:. Faida ya matumizi ya ngozi ya mnyama aliyekufa baada ya kutwaharishwa, pia imezungumzia kauli ya Mtume (s.a.w) juu ya uhalali wa jambo hilo.
2016-05-25
Mada hii inazungumzia: Utwahara wa ute na mate ya mnyama anayeliwa kisheria, pia imezungumzia namna ute wa ngamia ulivyo mmiminikia Swaha (r.a).
2016-05-25
Mada hii inazungumzia: Makatazo ya kula nyama ya punda na kwamba ni najsi, pia imeelezea mwaka ambao ilikatazwa kula nyama ya punda wa kufugwa.
2016-05-25
Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa Sunna ya kupiga msawaki, pia imeelezea nyakati muhimu na bora zaidi kwa mtu kupiga mswaki.
2016-05-24
Mada hii inazungumzia: Mambo ambayo yakifanywa ndani ya swala yanapunguza ukamilifu wa swala, pia imeelezea hatari ya kufanya mchezo katika swala.
2016-05-24
Mada hii inazungumzia: Swala ndilo jambo la kwanza kuhesabiwa siku ya Qiyama, pia imeelezea umuhimu na ubora wa swala za sunna.
2016-05-24
Mada hii inazungumzia: Mtume (s.a.w) alikuwa akileta tasbihi baada ya swala kwa mkono wake wa kulia, pia imeelezea Dua aliyokuwa akiomba Mtume (s.a.w).
Go to the Top