Kuonyesha Video ( 326 - 350 Katika jumla ya: 1096 )
Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 43
2016-04-20
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa mambo muhimu katika swala, pia imezungumzia aina za dua za ufunguzi katika swala.
Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 42
2016-04-20
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa mambo muhimu ya kufanya kabla ya kuswali, pia imeelezea maana ya takbiiratul ihram (takbiira ya kuhirimia swala).
Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 41
2016-04-20
Mada hii inazungumzia: Nini afanye mtu ambae kumeadhiniwa haliyakuwa yupo ndani ya msikiti, pia imeelezea mambo yanayotakiwa kutekelezwa kabla ya kuingia katika swala.
Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 40
2016-04-20
Mada hii inazungumzia: Dua baada ya adhana, pia imezungumzia umuhimu wa kuomba dua baada ya adhana na kuwaombea wazazi, watoto na wengineo katika uislamu.
Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 39
2016-04-20
Mada hii inazungumzia: Namna ya kumswalia Mtume (s.a.w) baada ya adhana, pia imezungumzia fadhila anazopata mwenye kumswalia Mtume (s.a.w).
Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 38
2016-04-20
Mada hii inazungumzia: Mambo ambayo yanamuhusu Muadhini, pia imezungumzia namna ya kumfuatisha muadhini wakati anapotoa adhana.
Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 37
2016-04-20
Mada hii inazungumzia: Tofauti kati ya Adhana ya Bilali (r.a) na Adhana ya Abii Mahdhura (r.a), pia imezungumzia mpangilio wa Adhana.
Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 36
2016-04-20
Mada hii inazungumzia: Hukumu ya kuadhini ukiwa twahara, pia imezungumzia ubora wa kuadhini kwa sauti nzuri.
Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 35
2016-04-20
Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kuadhini katika mazingira yoyote, pia imezungumzia ubora kukubali na kufuata haki.
Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 34
2016-04-20
Mada hii inazungumzia: Mwenye kutoa Adhana anaombewa msamaha na kila chenye kusikia Adhana hiyo, pia imeelezea mitihani wanayopata waadhini wa zama hizi.
Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 33
2016-04-20
Mada hii inazungumzia: Ubora wa Adhana na malipo anayopata Muadhini, pia imeelezea umuhimu wa kwenda mapema msikitini.
Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 32
2016-04-20
Mada hii inazungumzia: Adabu na utaratibu wa kuelekea katika swala, pia imeelezea umuhimu na ubora wa safu ya mbele kwa mwanaume.
Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 31
2016-04-20
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa sharti za swala ni kuondoa najisi na kuelekea qibla, pia imeelezea umuhimu wa kusafisha nia katika ibada.
Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 30
2016-04-20
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa sharti za swala ni kusitiri utupu (uchi), pia imeelezea umuhimu wa kuchunga mavazi ndani na nje ya swala.
Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 29
2016-04-20
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa shariti za swala ni kuingia kwa wakati, pia imezungumzia nyakati za swala na namna ya kuhifadhi swala.
Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 28
2016-04-20
Mada hii inazungumzia: Tofauti ya kuadhini na kukiqim swala, pia imeelezea umuhimu wa kuzijua sharti za swala ili kuswali kama inavyotakiwa.
Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 27
2016-04-20
Mada hii inazungumzia: Namna ya kuadhini kisunna na utaratibu wake, pia imeelezea bid’aa zinazozushwa ndani ya adhana.
Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 26
2016-04-20
Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa swala na hasara ya mtu asie swali, pia imezungumzia maana ya adhana na idadi ya waadhini wa Mtume (s.a.w).
Kuacha sala ya ijumaa kwa dharau -69
2016-03-19
Mada hizi zinaongelea Mambo mbalimbali yaliyo katazwa katika uislam na imewekwa kwa njia ya maandishi.
Kuwafunga wanyama kengere -68
2016-03-19
Mada hizi zinaongelea Mambo mbalimbali yaliyo katazwa katika uislam na imewekwa kwa njia ya maandishi.
Mwanamke kuomba talaka -67
2016-03-19
Mada hizi zinaongelea Mambo mbalimbali yaliyo katazwa katika uislam na imewekwa kwa njia ya maandishi.
Kutowa fat’wa bila elimu -66
2016-03-19
Mada hizi zinaongelea Mambo mbalimbali yaliyo katazwa katika uislam na imewekwa kwa njia ya maandishi.
Kuwahadaa raia -65
2016-03-19
Mada hizi zinaongelea Mambo mbalimbali yaliyo katazwa katika uislam na imewekwa kwa njia ya maandishi.
Mwanamke kumsusia mumewe -64
2016-03-19
Mada hizi zinaongelea Mambo mbalimbali yaliyo katazwa katika uislam na imewekwa kwa njia ya maandishi.
Wanawake kuzuru makaburi -63
2016-03-19
Mada hizi zinaongelea Mambo mbalimbali yaliyo katazwa katika uislam na imewekwa kwa njia ya maandishi.
Go to the Top