Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 27

Anuwani: Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 27
Lugha: Kiswahili
Mhadhiri: Yasini Twaha Hassani
Kupitia: Abubakari Shabani Rukonkwa
Msambazaji: Mtandao wa satellite wa chanel za Tv Africa
Maelezo kwa ufupi.: Mada hii inazungumzia: Namna ya kuadhini kisunna na utaratibu wake, pia imeelezea bid’aa zinazozushwa ndani ya adhana.
Tarehe ya kuongezwa: 2016-04-20
kiungo kwa ufupi: http://IslamHouse.com/2802785
Kadi hii pia imetafsiriwa katika lugha zifuatazo:: Kiarabu
