Kuonyesha Video ( 476 - 500 Katika jumla ya: 1096 )
77.Al-Mursalat
2016-03-16
Msahafu mwalimu ulio tafsiriwa kwa lugha ya Kiswahili kwa sauti ya msomaji Shekh Muhammad Siddiq Al Minshawi, ambapo anasoma msomaji kisha inajirudia sauti yake kwa haraka.
Itikadi Sahihi na umuhimu wake
2016-03-09
Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa muislamu kuwa na itikadi sahihi na ubora wa kuamini Qadari, pia imezungumzia sababu za baadhi ya waislamu kuacha itikadi iliyo sahihi.
Wasia Wa Mtume (s.a.w) Kwa Muadh 16
2016-03-09
Mada hii inazungumzia wasia wa mtume s.a.w kwa Muadhi (r.a) ameeleza kuwa tabiya ya mtume ilikuwa Quraan, na ametumwa ili kutimiliza tabiya nzuri, ameongelea njia salama za malezi ya watoto, na njia ya mtume katika kurekebisha makosa.
Wasia Wa Mtume (s.a.w) Kwa Muadh 15
2016-03-09
Mada hii inazungumzia wasia wa mtume s.a.w kwa Muadhi (r.a) amezungumzia cheo cha tabia nzuri, na aina ya tabiya njema, ameeleza kuwa mtume alisifiwa kwa tabia njema.
Wasia Wa Mtume (s.a.w) Kwa Muadh 14
2016-03-09
Mada hii inazungumzia wasia wa mtume s.a.w kwa Muadhi (r.a) amezungumzia kuwa misiba inayo wapata wanadamu nisababu ya kupandishwa daraja na kusamehewa madhambi yake, kisha amezungumzia neema ya Afya.
Wasia Wa Mtume (s.a.w) Kwa Muadh 13
2016-03-09
Mada hii inazungumzia wasia wa mtume s.a.w kwa Muadhi (r.a) amezungumzia hukumu za Kafara na aina zake na badhi ya ibada ambazo zinafuta madhambi.
Wasia Wa Mtume (s.a.w) Kwa Muadh 12
2016-03-09
Mada hii inazungumzia wasia wa mtume s.a.w kwa Muadhi (r.a) amezungumzia njia za kufanya istighfar na ametaja dua ambazo ni bwana wa msamaha, na maana zake, na umuhimu wa kuhifadhi dua hii, na faida za istighfar.
Wasia Wa Mtume (s.a.w) Kwa Muadh 11
2016-03-09
Mada hii inazungumzia wasia wa mtume s.a.w kwa Muadhi (r.a) amebainisha maana ya Istighfar na faida zake, na tofauti ya tawba na istighfar,
Wasia Wa Mtume (s.a.w) Kwa Muadh 10
2016-03-09
Mada hii inazungumzia wasia wa mtume s.a.w kwa Muadhi (r.a) amezungumzia jinsi ya kurejesha haki katika tawba, na mambo ambayo hayafai katika tawba, na ameeleza mambo yanayo tenguwa tawba.
Wasia Wa Mtume (s.a.w) Kwa Muadh 09
2016-03-09
Mada hii inazungumzia wasia wa mtume s.a.w kwa Muadhi (r.a) amebainisha yanayo muokowa na Adhabu za moto, na ameeleza dhambi ambazo hazisameheki, kaiha amebainisha aina za tawba, na makosa ya watu katika tawba.
Wasia Wa Mtume (s.a.w) Kwa Muadh 08
2016-03-09
Mada hii inazungumzia wasia wa mtume s.a.w kwa Muadhi (r.a) amezungumzia umuhimu wa tawba na masharti yake, na faida za tawba, na kwamba dawa ya makosa ya mja ni kufanya Tawba.
Wasia Wa Mtume (s.a.w) Kwa Muadh 07
2016-03-09
Mada hii inazungumzia wasia wa mtume s.a.w kwa Muadhi (r.a) ameeleza jinsi Allah anavyo zalisha mema ya mwanadamu, kisha amehusia watu juu ya umuhimu wa kuunganisha watu.
Wasia Wa Mtume (s.a.w) Kwa Muadh 06
2016-03-09
Mada hii inazungumzia wasia wa mtume s.a.w kwa Muadhi (r.a) ameeleza kuwa umuhumu wa kufana mema na uwajibu wa kukumbuka makosa anayo yafanya mwanadamu, kasha amesema kuwa watu wote wanakosea.
Wasia Wa Mtume (s.a.w) Kwa Muadh 05
2016-03-09
Mada hii inazungumzia:.wasia wa Mtume kwa Muadhi, ameeleza qauli za watu wema katika kuwahusia watu uchamungu, pia amewahusia watu kumcha Allah katika kila Nyanja za maisha.
Wasia Wa Mtume (s.a.w) Kwa Muadh 04
2016-03-09
Mada hii inazungumzia:.wasia wa Mtume kwa Muadhi, amezungumzia umuhimu wa kuwahusia watu kumcha Allah, na kwamba watu wema walikuwa wakiwahusia watu kumcha Allah, kama Abubakari na Omar (r.a)
Wasia Wa Mtume (s.a.w) Kwa Muadh 03
2016-03-09
Mada hii inazungumzia:.wasia wa Mtume kwa Muadhi anaendelea kutaja faida za Uchamungu kama kupendwa na Allah, kuondolewa na khofu na huzuni.
Wasia Wa Mtume (s.a.w) Kwa Muadh 02
2016-03-09
Mada hii inazungumzia:.wasia wa Mtume kwa Muadhi amebainisha matunda yanayo patikana katika uchamungu, ni kinga na maaduwi, na atampa nguvu na nusra, na atampa njia ya kujiepusha na matatizo, na kupata wepesi.
Wasia Wa Mtume (s.a.w) Kwa Muadh 01
2016-03-09
Mada hii inazungumzia: Utambulisho wa Muadhi bin Jbal r.a, na nafasi yake kwa mtume na sifa za muadhi, kisha ameeleza wasia wa mtume kwa Muadhi, kasha ameeleza yalio kuja katika wasia ikiwemo maana ya Uchamungu.
Umuhimu Wa Imani 14
2016-03-09
Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kuhamasisha watu katika kutafuta elimu, pia imezungumzia chuki za makafiri juu ya waislamu na tofauti kati ya dola ya kiislamu na dola isiyokuwa ya kiislamu.
Umuhimu Wa Imani 13
2016-03-09
Mada hii inazungumzia: Utofauti na mgawanyiko wa elimu katika jamii na kwamba kuna elimu ya lazima na elimu isiyo ya lazima, pia imezungumzia umuhimu wa elimu ya dini ambayo ndiyo elimu ya faradhi.
Umuhimu Wa Imani 12
2016-03-09
Mada hii inazungumzia: Maswali na majibu, na imefafanua uharamu wa kufanya biashara ya nguruwe na kutumia chumo linalopatikana katika biashara hiyo, pia imezungumzia hatari ya kula haramu na kwamba mwnye kula haramu hata dua yake haijibiwi.
Umuhimu Wa Imani 11
2016-03-09
Mada hii inazungumzia: Hatari ya kuzua jambo katika dini ya Mwenyezi Mungu na umuhimu wa kufuata Qur’an na Sunna za Mtume (s.a.w), pia imezungumzia uwajibu wa kutafuta elimu kwa kila Muislamu.
Umuhimu Wa Imani 10
2016-03-09
Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kuwafundisha watoto Qur’an na Sunna za Mtume (s.a.w) na maadili ya kiislamu, pia imezungumzia ubora wa kumuiga Mtume (s.a.w) katika matendo, na hatari ya kuiga tabia za kimagharibi.
Umuhimu Wa Imani 09
2016-03-09
Mada hii inazungumzia: Sababu ya Maswahaba kufanya (Hijra ya kwanza) kuhama kutoka Makkah kwenda Habashi na yale waliyo jifunza, pia imezungumzia mbinu, njia na namna ya kufundisha.
Umuhimu Wa Imani 08
2016-03-09
Mada hii inazungumzia: Mipango ya makafiri juu ya kuuangamiza uislamu na kwamba ni mipango ya muda mrefu, pia imezungumzia umuhimu wa waislamu kujidhatiti katika vyuo, misikitiki na majumbani ili kuwajenga vijana wa kiislamu katika imani ya kweli.
Go to the Top