Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 39

Anuwani: Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 39
Lugha: Kiswahili
Mhadhiri: Yasini Twaha Hassani
Kupitia: Yunus Kanuni Ngenda
Msambazaji: Mtandao wa satellite wa chanel za Tv Africa
Maelezo kwa ufupi.: Mada hii inazungumzia: Namna ya kumswalia Mtume (s.a.w) baada ya adhana, pia imezungumzia fadhila anazopata mwenye kumswalia Mtume (s.a.w).
Tarehe ya kuongezwa: 2016-04-20
kiungo kwa ufupi: http://IslamHouse.com/2802809
Kadi hii pia imetafsiriwa katika lugha zifuatazo:: Kiarabu
