Kuonyesha Video ( 826 - 850 Katika jumla ya: 1096 )
Majina ya Mwenzezi Mungu - Al-Akram
2015-12-31
Haya ni majina 99 ya Mwenyezi Mungu yalio tafsiriwa kwa lugha ya Kiswahili.
Majina ya Mwenzezi Mungu - Al-Karim
2015-12-30
Haya ni majina 99 ya Mwenyezi Mungu yalio tafsiriwa kwa lugha ya Kiswahili.
Majina ya Mwenzezi Mungu - Al-Ghaniyu
2015-12-30
Haya ni majina 99 ya Mwenyezi Mungu yalio tafsiriwa kwa lugha ya Kiswahili.
Majina ya Mwenzezi Mungu - As-Sitiir
2015-12-30
Haya ni majina 99 ya Mwenyezi Mungu yalio tafsiriwa kwa lugha ya Kiswahili.
Majina ya Mwenzezi Mungu - At-Tawwab
2015-12-30
Haya ni majina 99 ya Mwenyezi Mungu yalio tafsiriwa kwa lugha ya Kiswahili.
Majina ya Mwenzezi Mungu -  Al-Haliim
2015-12-30
Haya ni majina 99 ya Mwenyezi Mungu yalio tafsiriwa kwa lugha ya Kiswahili.
Majina ya Mwenzezi Mungu - Ar-Rauf
2015-12-30
Haya ni majina 99 ya Mwenyezi Mungu yalio tafsiriwa kwa lugha ya Kiswahili.
Majina ya Mwenzezi Mungu - Al-Ghafaar
2015-12-30
Haya ni majina 99 ya Mwenyezi Mungu yalio tafsiriwa kwa lugha ya Kiswahili.
Majina ya Mwenzezi Mungu - Al-Ghafuru
2015-12-30
Haya ni majina 99 ya Mwenyezi Mungu yalio tafsiriwa kwa lugha ya Kiswahili.
Majina ya Mwenzezi Mungu - Al-Afuwu
2015-12-30
Haya ni majina 99 ya Mwenyezi Mungu yalio tafsiriwa kwa lugha ya Kiswahili.
Majina ya Mwenzezi Mungu - Ar-Rahim
2015-12-30
Haya ni majina 99 ya Mwenyezi Mungu yalio tafsiriwa kwa lugha ya Kiswahili.
Majina ya Mwenzezi Mungu - Ar-Rahman
2015-12-30
Haya ni majina 99 ya Mwenyezi Mungu yalio tafsiriwa kwa lugha ya Kiswahili.
Majina ya Mwenzezi Mungu - Al-llah
2015-12-30
Haya ni majina 99 ya Mwenyezi Mungu yalio tafsiriwa kwa lugha ya Kiswahili.
Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 30
2015-12-23
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni dua aliyomuombea Swahaba Abdi LLahi bin Abbas (r.a) ya kwamba Allah amzidishie elimu, pia imezungumzia umuhimu wa kujifunza kupitia miujiza ya Mtume (s.a.w).
Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 29
2015-12-23
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni dua, pia imezungumzia dua ya Mtume (s.a.w) aliyomuombea Swahaba Nabigha Alja’ad (r.a).
Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 28
2015-12-23
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni Dua aliyo muombea Swahaba Abdu Rahman bin A’ufy (r.a) na ikaleta maajabu na natija kubwa sana, pia imeelezaa kwa ufupi kisa cha Sa’ad bin Abi Waqaas.
Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 27
2015-12-23
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni ni miujiza katika Dua anayoomba au kuombea watu, pia imezungumzia kisa cha Swahaba Anas bin Malik (r.a) na Dua aliyoombewa na Mtume (s.a.w).
Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 26
2015-12-23
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni utabiri wake juu ya ushindi katika kikosi alicho kiongoza Ally bin Abi Twalib (r.a), pia imezungumzia muujiza wa Mtume (s.a.w) ktk kuponya walio pooza katika maswahaba(r.a).
Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 25
2015-12-23
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni miujiza ya kuwaponya watu waliokuwa na maradhi mbali mbali, pia imezungumzia tofauti ya miujiza ya Mtume Muhammad (s.a.w) na Mitume wengine (s.a.w).
Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 24
2015-12-23
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni ule muujiza wa kujibu maswali juu ya mambo tisa waliyomuuliza Mayahudi, pia imezungumzia miongoni mwa itikadi mbovu za Mayahudi.
Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 23
2015-12-23
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni muujiza uliotokea wakati akijibu maswali ya Myahudi, pia imezungumzia mambo tisa aliyoulizwa Mtume (s.a.w) na Mayahudi, yaliyokuwa wakati wa Nabii Mussa (a.s).
Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 22
2015-12-23
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni muujiza uliotokea wa kujibu maswali matatu aliyoulizwa na Abdallah bin Salam, pia imezungumzia namna Malaika Jibril alivyomjia Mtume (s.a.w) na kumpa majibu.
Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 21
2015-12-23
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni makundi aliyo onyeshwa katika umati wake, pia imezungumzia miujiza aliyoacha ameisema na inaendelea kutokea mpaka kiyama kitasimama.
Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 20
2015-12-23
Mada hii inazungumzia: Miujiza ya mtume (s.a.w) ameleza muujiza wa mtume kuwa amani itaenea, na itafunguliwa nchi ya Kisraa, na kuenea kwa mali, pia katika miujiza ya mtume ni kauli yake kuwa ukhalifa utakuwa miaka 30 kisha utakuwa ufalme.
Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 19
2015-12-23
Mada hii inazungumzia: Miujiza ya mtume (s.a.w) ameeleza miujiza wa kujuwa watu wa motoni na watu wa peponi, na alisema kuwa uislam utaenea duniani, kisha akawahusia watu waombe mwisho mwema,.
Go to the Top