Kukamilisha Alzaahirah ilio kusanya visomo kumi ambavyo vilivyo thibiti kwa usahihi.
Kadi ya maelezo ya watu wote
Anuwani: Kukamilisha Alzaahirah ilio kusanya visomo kumi ambavyo vilivyo thibiti kwa usahihi.
Maelezo kwa ufupi.: Kukamilisha Alzaahirah ilio kusanya visomo kumi ambavyo vilivyo thibiti kwa usahihi:Kuhitimisha kuliko kamilika,kumekusanya ndaniyake msomaji kwa namna zote za visomo,katika visomo vyote kumi vilivyo thibiti kwa mutawaatir,kwa wakati mmoja,nanjiya inayo fuatwa ,ninjiya ya kukusanya visomo tofauti nakusimama sehemu zinazo faa kusimama katika kusoma,na namna ya kusimama,kama anavyosema msomaji:(naanza kisomo kwa neno قالون kisha ninaungia msomaji ambae kisomochake kiko karibu na Aya ya mwisho,kwawakati ambao kisomo chake hakikuwa kina endana na aliesoma قالون.Nakuendelea mpaka nisome visomo vyote kwa wasomaji wote)angalia kitabu Alhadi sherehe ya twaibatu alnashir)1/430.
Nahuu nimfano wavitendo kawa kisoma cha kukusanya visomo tofauti na kusimama katika vituo vinavyo takiwa,Anasema Allah mtukufu: ( الذين يؤمنون )بالغيب و يقيمون الصلاة و مما رزقناهم ينفقون
1-Baadhi ya wasomaji walisema herufi ya (م)ya wingi itiwe sukuun(sekna)na visomo vyote viwe kwa sukuuni,ispokuwa kisomo cha warshi katika kuunganisha,na Ibnu Kathiir na kisomo cha Alsuusiy,na Abuu Jaafar.
2-Walisema :kuunganisha (م) kaenda nayo imamu ibun Kathiir.
3-Warshi kaibadilisha kuwa Hamza (يومنون)na kuifanya (لا)ya neno الصلاة iwe nzito,nakatika namna ya kisomo hiki hakuna alie muunga mkono.
4-Asuusy kasoma kwa namna ya kuikondesha (لا).
5.Abuu Jaafar kasoma kwa kuunganisha na mim.
Unaweza kudownload kwakiwango cha juu kwakubonyeza picha ya torrent.
Nahuu nimfano wavitendo kawa kisoma cha kukusanya visomo tofauti na kusimama katika vituo vinavyo takiwa,Anasema Allah mtukufu: ( الذين يؤمنون )بالغيب و يقيمون الصلاة و مما رزقناهم ينفقون
1-Baadhi ya wasomaji walisema herufi ya (م)ya wingi itiwe sukuun(sekna)na visomo vyote viwe kwa sukuuni,ispokuwa kisomo cha warshi katika kuunganisha,na Ibnu Kathiir na kisomo cha Alsuusiy,na Abuu Jaafar.
2-Walisema :kuunganisha (م) kaenda nayo imamu ibun Kathiir.
3-Warshi kaibadilisha kuwa Hamza (يومنون)na kuifanya (لا)ya neno الصلاة iwe nzito,nakatika namna ya kisomo hiki hakuna alie muunga mkono.
4-Asuusy kasoma kwa namna ya kuikondesha (لا).
5.Abuu Jaafar kasoma kwa kuunganisha na mim.
Unaweza kudownload kwakiwango cha juu kwakubonyeza picha ya torrent.
Tarehe ya kuongezwa: 2014-06-14
kiungo kwa ufupi: http://IslamHouse.com/652501
Kadi hii pia imetafsiriwa katika lugha zifuatazo:: Kiarabu - Kituruki - German - Albanian - Thai - Kifaransa - Kivetinam - Uzbek - China - Kingereza - Kurdish - RUSIA - Kiholanzi - Bengali - Uyghur - Kifurusi - Terugu - Spanish - Kihindi - Urdu - Malayalam - Bosnian - Indonesian - Kifilpino(tagalogo) - Tajik - Kijapani - Korean - Kireno - Kinepali - Tamil - Serbian - Yoruba - Somalia - Kibambari - Kifula - Sonnki - Wolof - Akani