Kuonyesha Video ( 901 - 925 Katika jumla ya: 1290 )
2015-12-15
Kataja Sheikh Ufahamu wa kimakosa kuhusu Uislamu: Jee Uislamu umeenea kwa upanga? kwa nini Uislamu umeruhusu mke zaidi ya mmoja? Jee Hijabu ni sehemu ya utumwa? kwa nini waisilamu wanachinja kihalali? kisha anajibu kwa dalili na kiakili kwa urefu.
2015-12-15
Kataja Sheikh Ufahamu wa kimakosa kuhusu Uislamu: Jee Uislamu umeenea kwa upanga? kwa nini Uislamu umeruhusu mke zaidi ya mmoja? Jee Hijabu ni sehemu ya utumwa? kwa nini waisilamu wanachinja kihalali? kisha anajibu kwa dalili na kiakili kwa urefu.
2015-12-15
Kataja Sheikh Ufahamu wa kimakosa kuhusu Uislamu: Jee Uislamu umeenea kwa upanga? kwa nini Uislamu umeruhusu mke zaidi ya mmoja? Jee Hijabu ni sehemu ya utumwa? kwa nini waisilamu wanachinja kihalali? kisha anajibu kwa dalili na kiakili kwa urefu.
2015-12-15
Kataja Sheikh Ufahamu wa kimakosa kuhusu Uislamu: Jee Uislamu umeenea kwa upanga? kwa nini Uislamu umeruhusu mke zaidi ya mmoja? Jee Hijabu ni sehemu ya utumwa? kwa nini waisilamu wanachinja kihalali? kisha anajibu kwa dalili na kiakili kwa urefu.
2015-12-15
Kataja Sheikh Ufahamu wa kimakosa kuhusu Uislamu: Jee Uislamu umeenea kwa upanga? kwa nini Uislamu umeruhusu mke zaidi ya mmoja? Jee Hijabu ni sehemu ya utumwa? kwa nini waisilamu wanachinja kihalali? kisha anajibu kwa dalili na kiakili kwa urefu.
2015-12-15
Kataja Sheikh Ufahamu wa kimakosa kuhusu Uislamu: Jee Uislamu umeenea kwa upanga? kwa nini Uislamu umeruhusu mke zaidi ya mmoja? Jee Hijabu ni sehemu ya utumwa? kwa nini waisilamu wanachinja kihalali? kisha anajibu kwa dalili na kiakili kwa urefu.
2015-12-15
Kataja Sheikh Ufahamu wa kimakosa kuhusu Uislamu: Jee Uislamu umeenea kwa upanga? kwa nini Uislamu umeruhusu mke zaidi ya mmoja? Jee Hijabu ni sehemu ya utumwa? kwa nini waisilamu wanachinja kihalali? kisha anajibu kwa dalili na kiakili kwa urefu.
2015-12-15
Kataja Sheikh Ufahamu wa kimakosa kuhusu Uislamu: Jee Uislamu umeenea kwa upanga? kwa nini Uislamu umeruhusu mke zaidi ya mmoja? Jee Hijabu ni sehemu ya utumwa? kwa nini waisilamu wanachinja kihalali? kisha anajibu kwa dalili na kiakili kwa urefu.
2015-12-15
Kataja Sheikh Ufahamu wa kimakosa kuhusu Uislamu: Jee Uislamu umeenea kwa upanga? kwa nini Uislamu umeruhusu mke zaidi ya mmoja? Jee Hijabu ni sehemu ya utumwa? kwa nini waisilamu wanachinja kihalali? kisha anajibu kwa dalili na kiakili kwa urefu.
2015-12-15
Kataja Sheikh Ufahamu wa kimakosa kuhusu Uislamu: Jee Uislamu umeenea kwa upanga? kwa nini Uislamu umeruhusu mke zaidi ya mmoja? Jee Hijabu ni sehemu ya utumwa? kwa nini waisilamu wanachinja kihalali? kisha anajibu kwa dalili na kiakili kwa urefu.
2015-12-13
Madaa hii inazungumzia: Umuhimu wa kuzingatia katika neema za Mwenyezi Mungu Mtukufu, na amebainisha neema ya viungo ikiwemo figo na alama za kuharibika kwake, na amebainisha kazi za figo mwilini, mwisho amezungumzia umuhimu wa kushukuru neema na kwamba mwanadamu ataulizwa.
2015-12-11
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni muujiza uliotokea wakati akila chakula na Maswahaba wake na chakula kile kikawa kinamtaja Allah, pia imezungumzia muujiza wa mbwa mwitu kutoa habari za Mtume Muhammad (s.a.w) kwa mchunga mbuzi.
2015-12-11
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni muujiza uliotekea wakati wa kukidhi haja katika jangwa la Afiyah, pia imezungumzia muujiza ambao jiwe lilikua likimtolea salam Mtume (s.a.w) kabla ya kupewa utume.
2015-12-11
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni mti kushuhudia kuwa Allah ni mmoja na Muhammad (s.a.w) ni Mtume wa Allah mbele ya Bedui (Mwarabu wa mashambani), pia imezungumzia vitimbi alivyofanyiwa Mtume (s.a.w).
2015-12-11
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni muujiza uliotokea kwa Abuu Ayyubul-Answar (r.a), pia imezungumzia kwa ufupi historia ya vita vilivyoteka Tabuki, na muujiza wa Mtume (s.a.w) uliotokea katika vita hivyo.
2015-12-11
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni kukithirisha chakula yaani chakula kidogo kukifanya kingi, pia imezungumzia muujiza wa Mtume (s.a.w) wa kukithirisha chakula uliotokea kwa Swahaba Abuu Twalha na Jabir (r.a).
2015-12-11
Mada hii inazungumzia:, ufafanuzi wa muujiza uliotokea katika sulhul-hudeybia, pia imezungumzia muujiza wa Mtume (s.a.w) wa kutemea mate katika kisima kilichokuwa kime kauka maji na maji yakajaa.
2015-12-11
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ndani ya Qur’an aliyopewa Mtume (s.a.w) ni muujiza wa kupasuka mwezi, pia imezungumzia miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni kulizuia jua, na kutoa maji katika vidole vyake Mtume (s.a.w).
2015-12-11
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza aliopewa Mtume (s.a.w) ni muujiza wa Qur’an tukufu ambao unaitwa muujiza mkubwa, pia imezungumzia miujiza iliyomo ndani ya Qur’an, na namna makafiri walivyoshindwa kuleta mfano wa Qur’an.
2015-12-11
Mada hii inazungumzia: Miujiza ni kwa Mitume wa Mwenyezi Mungu na imebainisha tofauti kati ya karama na uchawi, na kwamba karama inakua kwa mtu mwema na uchawi ni kwa mtu muovu, pia inazungumzia miongoni mwa dalili za miujiza.
2015-12-11
Mada hii inazungumzia: Miujiza ya Mtume wetu Muhammad (s.a.w) na imebainisha tofauti kati ya miujiza ya Manabii waliopita na miujiza ya Mtume Muhammad (s.a.w), pia imezungumzia tofauti kati ya muujiza na karama, na sababu ya Mitume kupewa miujiza.
2015-12-08
Mada hii inazungumzia: Maneno na wasia wa Mtume (s.a.w) kwa binti yake Fatwima na imeelezea heshima na adabu aliyokuwa nayo Fatwima (r.a), pia imezungumzia kwa ufupi historia ya Ummu Kuluthum mtoto wa Mtume (s.a.w).
2015-12-08
Mada hii inazungumzia: Historia fupi ya mke wa Mtume (s.a.w) bi Maimuna bint Harith na kwamba ni katika wakeze Mtume (s.a.w) waliosifika na ucha Mungu, pia imeelezea habari za bi Fatwima na Ally bin Abiy Twalib (r.a).
2015-12-08
Mada hii inazungumzia: Uzinduo kwa akina mama wa kiislamu na kuwausia kufuata mwenendo wa nyumba ya Mtume (s.a.w), pia imezungumzia idadi ya wakeze Mtume (s.a.w), na umuhimu wa kufanya uadilifu na sulhu katika ndoa.
2015-12-08
Mada hii inazungumzia: Nasaha kwa wanawake wote wa kiislamu kupitia mifano ya wanawake wa nyumba ya Mtume (s.a.w), pia imezungumzia umuhumu wa kushikamana na dini na kujiepusha na tabia mbaya za kimagharibi.
Go to the Top