Kuonyesha Video ( 26 - 50 Katika jumla ya: 1096 )
Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 158
2017-03-26
Mada hii inazungumzia: Muda wa swala ya iddi, na kwamba inaswaliwa asubuhi, kisha amebainisha namna inavyo swaliwa Iddi.
Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 157
2017-03-26
Mada hii inazungumzia: Yanayo paswa kwa muislam anapo kwenda kuswali idi, kwamba anatakiwa afanye takbira tangu anatoka kwake na akifika kwenye mswala, na hakuna swala ya suna kabla au baada, na hakuna adhana wala iqama.
Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 156
2017-03-26
Mada hii inazungumzia: Mambo yanayotakiwa kufanywa siku ya Iddi, na mambo yasiyofaa.
Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 155
2017-03-26
Mada hii inazungumzia: Hukumu ya Swala ya Iddi mbili, taratibu zake na adabu zake.
Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 154
2017-03-26
Mada hii inazungumzia: Hukumu za kunyanyua mikono katika khutba na katika swala, pia imeeleza sehemu zinazo takiwa kunyanyua mikono.
Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 153
2017-03-26
Mada hii inazungumzia: Hukumu za khutba ya ijumaa na mambo yanayo takiwa kufanywa katika khutba ya Ijumaa.
Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 152
2017-03-26
Mada hii inazungumzia: Yanayo takiwa kuchungwa katika khutba ya Ijumaa na taratibu zake.
Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 151
2017-03-26
Mada hii inazungumzia: Adhana mbili za siku ya Ijumaa, pia imezungumzia juu ya idadi ya watu kusali Ijumaa mjini au vijijini.
Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 150
2017-03-26
Mada hii inazungumzia: Mambo yasiyotakiwa kufanywa siku ya Ijumaa, pia
imezungumzia hukumu ya Ijumaa inapokutana na Iddi
Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 149
2017-03-26
Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kufuata Sunna na taratibu za siku ya Ijumaa, kama vile kupaka manukato, kuoga na kusoma Surat Kahf nk.
Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 148
2017-03-26
Mada hii inazungumzia: Umuhumu na ubora wa kwenda mapema Msikitini siku ya Ijumaa.
Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 147
2017-03-26
Mada hii inazungumzia: wajibu na masharti ya swala ya ijumaa, kisha akabainisha nyudhuru za kuto fika katika swala ya ijumaa.
Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 146
2017-03-26
Mada hii inazungumzia: Hukumu ya Swala ya Ijumaa, na kisha imebainisha hukumu ya swala ya ijumaa kwa mgonjwa.
Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 145
2017-03-26
Mada hii inazungumzia: Madhabu ya asie swali, na kwamba maradhi sio sababu ya kuacha swala ,na kwamba asie swali nikafiri, kisha amebainisha namna ya kuswali mgonjwa swala ikimpita.
Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 144
2017-03-26
Mada hii inazungumzia: Namna anavyo elekea mgonjwa qibla, na namna anavyo swali akikosa wa kumuelekeza qibla, na niwakati gani mgonjwa aaswali kwa moyo wake.
Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 143
2017-03-26
Mada hii inazungumzia: Aina za maradhi na namna ya kufanya ibada kwa wagonjwa wenye maradhi hayo.
Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 142
2017-03-26
Mada hii inazungumzia: Muendelezo juu ya mambo yanayo muhusu mgonjwa
katika twahara na mengineyo
Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 141
2017-03-26
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa mambo yanayo muhusu mgonjwa katika twahara na swala.
Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 140
2017-03-26
Mada hii inazungumzia: Hukumu ya Swala ya mgonjwa na taratibu zake.
Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 139
2017-03-26
Mada hii inazungumzia: Makatazo ya kuswali baina ya nguzo za msikiti, pia imebainisha makatazo ya kumuamsha alie wahi kwenye swafu.
Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 138
2017-03-26
Mada hii inazungumzia: Mambo yanayo muhusu Maamuma ndani Swala.
Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 137
2017-03-26
Mada hii inazungumzia: Muendelezo wa mambo yanayo muhusu Imamu, adabu zake na utaratibu wa kuswalisha.
Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 136
2017-03-26
Mada hii inazungumzia: Muendelezo wa mambo yanayo muhusu Imamu, adabu zake na utaratibu wa kuswalisha.
Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 135
2017-03-26
Mada hii inazungumzia: Muendelezo wa mambo yanayo muhusu Imamu, adabu zake na utaratibu wa kuswalisha.
Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 134
2017-03-26
Mada hii inazungumzia: Mambo yanayo muhusu Imamu, Sifa anazotakiwa kujipamba nazo na adabu zake.
Go to the Top