Majibu Kuhusu Arafa Na Iddi Al- Dhha

Sauti (Audios) Kadi ya maelezo ya watu wote
Anuwani: Majibu Kuhusu Arafa Na Iddi Al- Dhha
Lugha: Kiswahili
Mhadhiri: Qasim Mafuta
Kupitia: Abubakari Shabani Rukonkwa
Msambazaji: Ofisi ya da’awah na kuhamasisha jamii ilipo Rabuwa Riyadh
Maelezo kwa ufupi.: 1- Mada hii inazungumzia Siku ya Arafa, maana yake na umuhimu wa kuomba dua katika siku hiyo, na amejibu kuhusu utata juu ya siku ya arafa na siku ya Iddi al Adhha nawale wasiofunga siku ya arafa bali wanafunga siku ya kuchinja.
2- Mada hii inazungumzia Majibu ya utata wa Arafa na hijja, amebainisha kuwa hija ilikuwepo tangu wakati wa nabii Ibrahim haikuwa faradhi, amefafanua mafungaamano ya Arafa na mwezi Dhulhijah, na Arafa ya mtu wa China na Est Africa, na mafungamano ya swala ya iddi na kupiga mawe na kuchinja kwa mahojaji .
3- Mada hii inazungumzia Majibu ya utata wa Arafa na hijja, amebainisha kuwa watu wanafuata mahujaji katika takbira, na kuchinja ili wafuate watu wa mina, na ametaja Qauli za wanachuoni kuhusu mafungamano ya hija na matendo ya wasiokuwa mahujaji.
Tarehe ya kuongezwa: 2015-08-19
kiungo kwa ufupi: http://IslamHouse.com/2769876
Anwani hizi zimepangwa chini ya uainishaji ufuatao::
Kadi hii pia imetafsiriwa katika lugha zifuatazo:: Kiarabu
Viambatanisho ( 3 )
1.
Majibu Kuhusu Arafa Na Iddi Al- Dhha 1
3.3 MB
: Majibu Kuhusu Arafa Na Iddi Al- Dhha 1.mp3
2.
Majibu Kuhusu Arafa Na Iddi Al- Dhha 2
3 MB
: Majibu Kuhusu Arafa Na Iddi Al- Dhha 2.mp3
3.
Majibu Kuhusu Arafa Na Iddi Al- Dhha 3
4.1 MB
: Majibu Kuhusu Arafa Na Iddi Al- Dhha 3.mp3
Go to the Top