Jeneza

Aina za kimaudhui Kadi ya maelezo ya watu wote
Anuwani: Jeneza
Maelezo kwa ufupi.: Mwanadamu ni roho na mwili, na kifo ni kutengana roho na huyo mwili, nahuu sio mwisho wa mwanadamu bali hiyo ni hatua kwa hatua kuelekea akhera, kisha atalipwa kutokana na mema yake, na sheria imeelezea mambo yanayo muhusu maiti ikiwemo: akiwa kwenye sakaratil mauti, kuoshwa, kusaliwa, kuzikwa, kwa urefu zaidi, na kuelezea hukumu za huzuni kwa maiti, na hapa tutaelezea hukumu zote hizo.
kiungo kwa ufupi: http://IslamHouse.com/2769279
Maudhui zinazo ambatana na ( 2 )
Go to the Top