Basil Abdul-Rahman al-Rawi

watu mashuhuri na wenye hadh binafsi Kadi ya maelezo ya watu wote
Anuwani: Basil Abdul-Rahman al-Rawi
Maelezo kwa ufupi.: Shekh Basil Bin Abdul-Rahman al-Rawi: Amezaliwa Iraq katika mji wa Baghdad mwaka 1953, alimaliza masomo yake katika chuo kikuu cha Baghdad katika kitivo cha kanuni na siasa mwaka 1975 na alipata nafasi ya kwanza wakati huo, na wizara ya mambo ya nje ilimuomba afanye kazi kama diplomasia mwaka 1977, na akaacha kazi mwaka 1990, akashughulika na kusoma Qur'an kuihifadhi na kuifundisha.
Tarehe ya kuongezwa: 2015-04-30
kiungo kwa ufupi: http://IslamHouse.com/884852
Maudhui zinazo ambatana na.. ( 1 )
Go to the Top