Ahmad Al Zahran

watu mashuhuri na wenye hadh binafsi Kadi ya maelezo ya watu wote
Anuwani: Ahmad Al Zahran
Maelezo kwa ufupi.: Shekh Ahmad Al Zahran: Ni Muhadhir katika Chuo kikuu cha kiislamu cha Imamu Muhammad Bin Soud Nchini Saudi Arabia. Pia ni mkuu wa Da’awa katika taasisi ya World Assembly of Muslim Youth (WAMY) kwa nchi ya Tanzania, na anafanya kazi katika maktaba ya Jariyat Badia, Rayadh Saudi Arabia.
Tarehe ya kuongezwa: 2015-02-18
kiungo kwa ufupi: http://IslamHouse.com/814235
Kadi hii pia imetafsiriwa katika lugha zifuatazo:: Kiarabu
Go to the Top