Al Muntakhab Fi Tafsir Al Qur’an
Kadi ya maelezo ya watu wote
Anuwani: Al Muntakhab Fi Tafsir Al Qur’an
Lugha: Kiswahili
Msomaji: Abdul Basit Abdul Samad
Kupitia: Abubakari Shabani Rukonkwa
Maelezo kwa ufupi.: Silsila ya mada za sauti za Tarjama ya Quran tukufu kwa lugha ya kiswahili inayo itwa "Al Muntakhab Fi Tafsir Al Qur’an" iliyo fanywa na Sheikh Ali Muhsin Al-Barwani tafsiri hii inasifika kwa ufasaha wa lugha, masahafu huu umekusanya sauti ya msomaji wa Quraan, na sauti ya anaesoma tarjama ya kiswahili.
Tarehe ya kuongezwa: 2016-08-15
kiungo kwa ufupi: http://IslamHouse.com/2809775
Anwani hizi zimepangwa chini ya uainishaji ufuatao::
Kadi hii pia imetafsiriwa katika lugha zifuatazo:: Kiarabu