Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 13

Anuwani: Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 13
Lugha: Kiswahili
Mhadhiri: Yasini Twaha Hassani
Kupitia: Abubakari Shabani Rukonkwa
Maelezo kwa ufupi.: Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kutumia maji machache na kujiepusha na israfu wakati wa kutawadha, na kwamba maji ni neema kutoka kwa Allah.
Tarehe ya kuongezwa: 2016-03-08
kiungo kwa ufupi: http://IslamHouse.com/2797505
Kadi hii pia imetafsiriwa katika lugha zifuatazo:: Kiarabu
