Sheikh Abubakar Shatwiry

watu mashuhuri na wenye hadh binafsi Kadi ya maelezo ya watu wote
Anuwani: Sheikh Abubakar Shatwiry
Maelezo kwa ufupi.: Sheikh Abubakar Shatwiry kazaliwa mwaka 1970 م, na ameishi ktk mji wa Jidda, pia ni Imamu ktk Muskiti wa Furqan mtaa wa Nasim Jidda.
kisha owa, ana watoto (4), anaitwa Baba Abdurrahman.
Masomo yake: Anacho kibali cha Qur-ani Tukufu kwa upokezi wa Hafswa kutoka kwa A'swim kapokea kibali hicho kutoka kwa Sheikh Aiman Rushdi Suwaidi mwaka 1416 هـ Anayo digri ya pili ya Mahesabu ameipata mwaka 1420 هـ.
Tarehe ya kuongezwa: 2015-10-13
kiungo kwa ufupi: http://IslamHouse.com/2776279
Maudhui zinazo ambatana na.. ( 1 )
Go to the Top