Sifa Za Ghurabaa Aliowataja Mtume (S.A.W)

Sauti (Audios) Kadi ya maelezo ya watu wote
Anuwani: Sifa Za Ghurabaa Aliowataja Mtume (S.A.W)
Lugha: Kiswahili
Mhadhiri: Abuu Musa Abubakari Musa Kiza
Kupitia: Yunus Kanuni Ngenda
Msambazaji: Ofisi ya da’awah na kuhamasisha jamii ilipo Rabuwa Riyadh
Maelezo kwa ufupi.: 1- Mada hii inazungumzia: Sifa za Ghurabaa waliotajwa na Mtume (s.a.w), kwamba ni wale wanaotengeneza pindi watu wanapo haribu, pia imezunguzia Ghurabaa ni wale wanao shikamana na Manhaji ya Mtume (s.a.w).
2- Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa sifa za Ghurabaa ni kushikamana na Sunna na kuthibiti katika haki na kujiepusha na mambo ya batili, bid’a na uzushi, pia imezungumzia umuhimu wa kusoma na kuujua uislam.
Tarehe ya kuongezwa: 2015-09-29
kiungo kwa ufupi: http://IslamHouse.com/2774986
Kadi hii pia imetafsiriwa katika lugha zifuatazo:: Kiarabu
Viambatanisho ( 2 )
1.
Sifa Za Ghurabaa Aliowataja Mtume (S.A.W) 1
5.1 MB
: Sifa Za Ghurabaa Aliowataja Mtume (S.A.W) 1.mp3
2.
Sifa Za Ghurabaa Aliowataja Mtume (S.A.W) 2
4.2 MB
: Sifa Za Ghurabaa Aliowataja Mtume (S.A.W) 2.mp3
Go to the Top