Hududi

Aina za kimaudhui Kadi ya maelezo ya watu wote
Anuwani: Hududi
Maelezo kwa ufupi.: Hududi:
Ni adhabu alio ipanga Mwenyezi Mungu ndani ya Qur-ani kama atakae fanya kitu fulani adhabu yake ni kitu fulani, mfano atakae zini ikiwa hajaoa apigwe bakora 100 ambae kishaoa apigwe mawe hadi afe... au kaiweka mtume Muhammad (s.a.w).
kiungo kwa ufupi: http://IslamHouse.com/896584
Go to the Top