Kinasemaje kitabu kitakatifu kuhusu Muhammad (s.a.w)?

Vitabu Kadi ya maelezo ya watu wote
Anuwani: Kinasemaje kitabu kitakatifu kuhusu Muhammad (s.a.w)?
Lugha: Hungarian
Msambazaji: Tovuti ya kidaawa ya islamic-invitation
Maelezo kwa ufupi.: Kitabu hiki kinaelezea mjadala kati ya Ahmad Diydat na baadhi ya Maaskofu ambao wanafanya ujanja na kukanusha na kupinga Bishara za Muhammad (s.a.w) katika kitabu kitakatifu, pamoja na kupindisha kwao kuna baadhi ya bishara ambazo haiwezekani kupatikana kwa mwengine zaidi ya Muhammad (s.a.w), na kitabu hiki ni zawadi kwa kila Muislamu na kinastahiki kuchapishwa na kutafsiriwa na kusambazwa, kwaajili ya kutafuta Radhi za Mwenyezi Mungu na kujua zaidi uhakika na kusambaza.
Tarehe ya kuongezwa: 2015-04-27
kiungo kwa ufupi: http://IslamHouse.com/884581
Kadi hii pia imetafsiriwa katika lugha zifuatazo:: Hungarian - Kiarabu - Amharic - Kurdish - Kitigrinya - Uzbek - China - Kituruki - Albanian - Sinhalese - Terugu - Kivetinam - Kireno - Thai - Mori - Malayalam - Kiassam
Viambatanisho ( 1 )
1.
Amit a BIBLIA MOHAMMEDRŐL (Béke legyen vele) mond
471.4 KB
Open: Amit a BIBLIA MOHAMMEDRŐL (Béke legyen vele) mond.pdf
Tafsiri ( 3 )
Go to the Top