ALLY ZUBERI

watu mashuhuri na wenye hadh binafsi Kadi ya maelezo ya watu wote
Anuwani: ALLY ZUBERI
Maelezo kwa ufupi.: Shekh Ally Zuberi: Amemaliza masomo yake kitengo cha Hadith katika Chuo kikuu cha kiislamu Madina nchini Saudi Arabia. Kwa sasa ni mlinganiaji katika Mkoa wa Tanga na ni khatwib katika Msikiti wa Darul Uluum, pia ni Mudiri wa chuo cha Darul Uluum Tanga Tanzania.-
Tarehe ya kuongezwa: 2015-01-24
kiungo kwa ufupi: http://IslamHouse.com/808124
Kadi hii pia imetafsiriwa katika lugha zifuatazo:: Kiarabu
Maudhui zinazo ambatana na.. ( 1 )
Go to the Top