Hijja Ya Mtume Amani Iwe Juu Yake
Kadi ya maelezo ya watu wote
Anuwani: Hijja Ya Mtume Amani Iwe Juu Yake
Lugha: Kiswahili
Mhadhiri: Salim Barahiyan
Kupitia: Abubakari Shabani Rukonkwa
Maelezo kwa ufupi.: Mada hii inazungumzia hija ya mtume alayhi salaam na mambo ambayo yalio watokea wanawake ambao wako katika ibada ya hija kama kupatwa na hedhi kama ilivyo mtokea mke wa mtume mamaetu aisha.
Tarehe ya kuongezwa: 2013-10-30
kiungo kwa ufupi: http://IslamHouse.com/446202
Kadi hii pia imetafsiriwa katika lugha zifuatazo:: Kiarabu